REAL Madrid imeripotiwa tayari imeshampata kocha ambaye wanamtaka akarithi mikoba ya Mtaliano Carlo Ancelotti.
KABLA ya Fei Toto tayari kuna mtu aliwahi kuitwa Toto. Salvatore ‘Toto’ Shillaci. Mpira bwana. Mungu huwa anaamua tu kutupa ...
MSIMU mpya wa 2024-2025 wa Ligi ya Championship umerejea tena upya huku makocha wa timu zote 16 zinazoshiriki wakikiri ...
Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni imepangwa katika kundi la vigogo kwenye fainali za Afrika za soka la ufukweni ...
UWEPO wa makipa watatu wenye uzoefu kwenye kikosi cha Namungo ambao ni Beno Kakolanya, Erick Molongi na Jonathan Nahimana ...
Sean ‘Diddy’ Combs (54) ndiyo jina alilopewa na wazazi wake, lakini jina la kutafutia ugali anajulikana kama P Diddy ama ...
BEKI kisiki wa Azam FC, Fuentes Mendosa ameshindwa kujizuia na kukiri kuwa Ibrahim Hamad 'Bacca' anayekipiga Yanga alistahili ...
BEKI wa JKT Tanzania ambaye alipata nafasi ya kucheza Yanga, David Bryson amemtaja Kibwana Shomari kuwa ni beki mzuri lakini ...
KUELEKEA mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania ...
BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk amemuonya kocha wake, Arne Slot asibweteke kwani kwenye timu hiyo hakuna muda wa kupumzika ...
BEKI wa kushoto wa Azam FC, Cheikh Sidibe amesema hakuna mchezaji asiyetamani kucheza na kiungo wa timu hiyo, Feisal Salum ...
WIKIENDI hii Yanga na Simba zina mechi za kuamua hatma zao katika michuano ya kimataifa kila mmoja akipambania rekodi zake.